Tuesday, July 23, 2013

ONLY IN TANZANIA: Tsvangirai aandamwa na kashfa huku uchaguzi ukikar...

ONLY IN TANZANIA: Tsvangirai aandamwa na kashfa huku uchaguzi ukikar...: Kituo cha Televisheni cha taifa cha Zimbabwe kimeanzisha kampeni ya kumchafulia jina Morgan Tsvangirai, mpinzani wa rais Robert Mugabe ...

Saturday, July 13, 2013

Tangazo kutoka sekretarieti ya ajira serikalini

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo kilichoundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29 (1). Jukumu la msingi la Sekretarieti ya Ajira ni kuendesha mchakato wa ajira katika Utumishi wa Umma. Hapa ina maana kuwa jukumu la kuajiri, kuthibitisha watumishi kazini pamoja na masuala ya nidhamu ya Watumishi yanabaki kwa Watendaji Wakuu wa Wizara na Taasisi katika Utumishi wa Umma mitarafu ya Kifungu cha 6(1) (b) cha Sheria ya Utumishi wa Umma no 8 ya mwaka 2002. Ambapo katika kuendesha mchakato huo, Sekretarieti ya Ajira inapaswa kuzingatia Sheria, Kanuni, na Taratibu zilizopo ili kuhakikisha Utumishi wa Umma unapata Watumishi weledi na wenye maadili mema. Ambapo hadi sasa jumla ya waombaji 4891 tumeshaendesha mchakato wao wa ajira na kuwapangia vituo vya kazi.
Hata hivyo, Sekretarieti ya Ajira kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma ilipeleka Mswada Bungeni unaopendekeza kukasimu madaraka ya kuendesha mchakato wa Ajira ili baadhi ya Waajiri wakasimiwe madaraka hayo ili kurahisisha utendaji kazi katika kushughulikia mchakato wa ajira kwa baadhi ya kada. Huku Sekretarieti ya Ajira ikiendelea kuhakikisha kuwa jukumu hilo linaendelea kutekelezwa kwa ufanisi. Tunapoongelea suala la ufanisi hapa Kitengo cha Udhibiti na Ubora kinasimamia suala zima la uhakiki wa taarifa za mhusika, uhakiki wa vyeti na uadilifu wake kwa ujumla. Ambapo hadi sasa tumeshabaini jumla ya vyeti vya kughushi 677 ambavyo wahusika wanadai wamevipata kutoka RITA, VETA na NECTA.
Nafasi wazi za kazi zitakazokuwa zikitangazwa na mchakato wake kuweza kukasimiwa ni pamoja na Kada ya Wasaidizi wa ofisi, Wahudumu wa afya, Madereva, Maafisa Watendaji wa Kata, Mtaa, Kijiji, Wapishi, Walinzi, Madobi, Wasaidizi watunza kumbukumbu pamoja na Makatibu Muhtasi (walio chini ya cheo cha mwandishi mwendesha ofisi) au Kada zingine ambazo Katibu wa Sekretarieti ataona inafaa kukasimu.
1Aidha, nitoe ushauri kwa wanafunzi walioko shuleni na wanaotarajia kuingia vyuoni kuchukua masomo ama kozi za fani ya Afya, Elimu, Mifugo na Kilimo maana ni maeneo ambayo bado yana fursa nyingi za ajira Serikalini na wahitimu wake pindi wamalizapo wanapangiwa vituo vya kazi moja kwa moja bila ya kupitia mchakato wetu wa ajira kutokana na uhaba wa Wataalam wa fani hizo katika soko la ajira hivi sasa.
Sekretarieti ya Ajira katika kuhakikisha wananchi wanapata taarifa kwa haraka zaidi zinazohusu mchakato wa ajira katika Utumishi wa Umma, pamoja na kuboresha mawasiliano kati ya Ofisi yetu na wadau ili kuweza kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia ya habari na mawasiliano nchini na duniani kwa ujumla, iliamua kuanzisha tovuti yake (www.ajira.go.tz) ambayo imerahisisha kwa kiasi kikubwa utoaji na upokeaji wa taarifa mbalimbali hususani za matangazo ya fursa za ajira taarifa nyingine zinazohusu masuala ya ajira Serikalini na matangazo mengine yanayohusu shughuli za Sekretarieti ya Ajira. Tangu kuzinduliwa mwezi Aprili, 2012 imeweza kutembelewa na wadau wapatao 3,017,410
Pamoja na tovuti Sekretarieti ya Ajira imeanzisha KANZIDATA (DATABASE) za aina tatu (3) ambazo ni Kanzidata ya Wahitimu wa Vyuo na Watalaam weledi, Kanzidata ya waliofaulu usaili na Kanzidata ya waliopangiwa vituo vya kazi.
Jambo lingine ambalo ningependa mkalifahamu ni kuwa, Sekretarieti ya Ajira iko katika hatua za awali za mchakato wa kuwawezesha waombaji wa fursa za ajira kuwasilisha maombi ya kazi kwa mfumo wa kielektroniki (e-application) kwa nafasi wazi zitakazokuwa zikitangazwa katika Utumishi wa Umma ili kurahisisha kupunguza mlolongo wa uendeshaji mchakato wa ajira ulivyo hivi sasa.
Mwisho nimalizie kwa kuwataka waombaji wa fursa za ajira kutokuchagua maeneo ya kufanyia kazi, hususani wale wanaopangiwa vituo vya kazi na Sekretarieti ya ajira na hawaendi kuripoti bila ya kutoa sababu za msingi maana Sekretarieti ya Ajira inaona hili ni kosa na inaandaa utaratibu wa kutowaruhusu kufanya usaili mwingine waombaji kama hao.



Imetolewa tarehe 12 Julai, 2013 na Riziki V. Abraham, Msemaji na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma +255-68762497

Thursday, July 11, 2013

Mafuta ya Oki, Viking, Asma sasa marufuku

 
Shirika la Viwango (TBS) limepiga marufuku uuzaji, ununuzi na matumizi ya mafuta ya kula ya aina ya Oki, Viking na Asma baada ya kubainika kuwa hayana ubora na hatari kwa afya za watumiaji.

Kwa mujibu wa Tangazo lilitolewa na Shirika la Viwango nchini (TBS) kwa baadhi ya vyombo vya habari jana, yeyote atakayekiuka agizo hilo atachukuliwa hatua za kisheria kwa mujibu wa Sheria ya Viwango Na. 2 ya mwaka 2009.

Tangazo hilo lilisema TBS ilinunua mafuta hayo yanayozalishwa nchini Malayasia na kuingizwa kupitia njia za panya, kusambazwa sokoni na kubainika kuwa hayajakidhi matakwa ya kiwango cha kimataifa TZS 559:2010 kinachotumiwa nchini.

“Matokeo ya uchunguzi wa  sampuli  zake  yalibainika kuwa yameshaharibika kabla ya kufikia ukomo wa matumizi kutokana na kutosafishwa ipsavyo, ni  machafu kutokana na kuchanganyika na maji hivyo  vigezo vya ubora wa mafuta havikufikiwa.”

Kwa msingi huo, TBS imewataka wauzaji wa mafuta hayo  kuyaondoa sokoni  mara moja na wateja kuacha kuyanunua hadi hapo itakapothibitika kuwa yamefikia kiwango kinachotakiwa.

Awali  NIPASHE ilichunguza na kubaini kuwa mafuta hayo hushushwa kwenye bandari bubu ya ufukwe wa Mbweni jijini Dar es Salaam na wafanyabiashara ambao pia walidaiwa kukwepa kulipa ushuru.

Kazi hiyo hufanywa bila kificho na baadhi ya waliozungumza na mwandishi wetu walieleza kuwa huenda kuna ushirikiano na maofisa wa vyombo vya dola wasio waaminifu.

Licha ya kukwepa kodi, pia mafuta hayo yamekuwa yakiuzwa kwa bei ya chini kati ya  Sh. 38,000 na  45,000 kwa ujazo wa lita 20 na kuwaumiza wazalishaji wa mafuta ya ndani ambao huuza mafuta ya ujazo huo kwa kati ya Sh.  52,000 na 55,000.

Tofauti hiyo husababisha wenye viwanda  vya ndani kushindwa kufanya biashara kutokana na mafuta hayo kukosa mshindani na kuzagaa sokoni.

Mafuta hayo yamekuwa yakitumiwa kwa wingi na wafanyabiashara hasa wakaanga chipsi kwa vile ndiyo mafuta ya bei nafuu.
CHANZO: NIPASHE

PICHA YA MELLISA EDWARD" NA AGNESS MASOGANGE WALIOKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AKIWA SOUTH AFRICA







Picha  ya  Mrembo Mellisa Edward  aliyedakwa  na  madawa  ya  kulevya  Afrika  kusini  akiwa  na 



Agness Masogange

Taarifa ya TFDA inayofafanua kuhusu matumizi ya mafuta ya mbegu za ubuyu

Picture
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) ni taasisi iliyoundwa chini ya Sheria ya Chakula Dawa na Vipodozi Sura ya 219, ili kudhibiti ubora na usalama wa vyakula, dawa, vipodozi, na vifaa tiba kwa lengo la kulinda afya ya jamii dhidi ya madhara yatokanayo na matumizi ya bidhaa hizo.

Imefahamika kuwa mafuta yatokanayo na mimea hupendwa zaidi kuliko mafuta ya wanyama kutokana na manufaa yake kiafya. Ili mafuta ya mimea yaweze kukidhi vigezo vya ubora na usalama ni lazima yafanyiwe usafishaji (refining) wakati wa usindikaji.

Hivi karibuni kumekuwepo na ongezeko kubwa la matumizi ya bidhaa zinazotokana na ubuyu ikiwa ni pamoja na mafuta yanayotokana na mbegu, unga wa mbegu na majani ya mbuyu.

Taarifa za kisayansi zinaonesha kuwa mafuta ya ubuyu yana kiwango kikubwa cha tindikali ya mafuta aina ya
cyclopropenoic fatty acids ambayo huweza kusababisha athari ya kiafya endapo mafuta hayo yatatumika kama chakula. Kiwango cha tindikali ya cyclopropenoic fatty acids huweza tu kupunguzwa katika mafuta ya mbegu za ubuyu kwa kuchemsha mafuta hayo katika nyuzi joto 180 kwa muda wa saa nane (8) au kwa kutumia teknolojia ya kutengeneza mafuta mgando (hydrogenation). Kwa sasa hapa nchini hakuna aina ya usindikaji unaofanyika wenye uwezo wa kuondoa tindikali ya cyclopropenoic fatty acids katika mafuta ya mbegu za ubuyu.

Baadhi ya athari zinazoweza kutokana na matumizi ya mafuta ya ubuyu yenye tindikali ya cyclopropenoic fatty acids ni pamoja na kuathiri vimeng’enyo (enzymes) vinavyosaidia katika uchakataji wa tindikali za mafuta mwilini (fatty acid biosynthesis).

Aidha, taarifa za kisayansi zinaonesha kuwa matumizi ya mafuta yenye kiasi kikubwa cha cyclopropenoic fatty acids sanjari na matumizi ya vyakula vilivyochafuliwa na sumu kuvu aina ya aflatoxin B1 ambayo inazalishwa na ukungu (fungus) katika baadhi ya vyakula kama vile mahindi na karanga huongeza uwezekano wa kuugua saratani.

Hadi sasa hakuna kiwango chochote cha ubora na usalama cha kitaifa au kimataifa cha mafuta yatokanayo na mbegu za ubuyu. Ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza kutokana na matumizi ya mafuta ya mbegu za ubuyu, jamii inashauriwa kuepuka ulaji wa mafuta hayo.

Hata hivyo, tafiti za kisayansi hazijabainisha athari za kiafya zinazoweza kutokana na ulaji wa bidhaa nyingine zitokanazo na ubuyu kama vile unga wa ubuyu na majani ya mbuyu.

TFDA inatoa wito kwa wananchi na jamii kwa ujumla kushirikiana katika jukumu la kulinda afya za walaji kwa kutoa taarifa pale wanapouziwa au kuhisi kuwepo kwa chakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba duni na bandia ambavyo havikidhi viwango vya usalama na ubora au pale sheria inapovunjwa ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa wahusika.

Kwa maelezo zaidi usisite kuwasiliana nasi kupitia;

Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA)
Barabara ya Mandela, Mabibo External,
S.L.P 77150
Dar Es Salaam, Tanzania

Simu: +255 22 2450512/2450751/2452108
Fax: +255 22 2450793
Barua pepe: info@tfda.or.tz
Tovuti: www.tfda.or.tz

Wednesday, July 10, 2013

UNC professor resigns academic chairman post

i0pcuw89 
UNC professor Julius Nyang'oro, chairman of UNC-CH African and Afro-American studies.
HARRY LYNCH — 2000 N&O file photo

A UNC-Chapel Hill department chairman at the center of questions regarding academic integrity within the university's football program has resigned from the position, university officials said Thursday.
UNC-CH Chancellor Holden Thorp said in a statement that Julius Nyang'oro, who headed the Department of African and Afro-American Studies, has resigned as the university looks at "possible irregularities with courses that included undergraduate students."
"Because academic integrity is paramount, we have every obligation to get to the bottom of these issues," Thorp said.
UNC officials said the irregularities involved student-athletes and other students. They declined to provide further details.
Nyang'oro will continue to teach at the university. His salary will be reduced $12,000 to $159,000.
The university said that it had notified the NCAA of the resignation and the possible irregularities, but said no student-athletes would be held out of games.
The resignation follows reports in The News & Observer that raised questions about Nyang'oro's connections to football players and the athletic department.
Last week, The N&O reported that Nyang'oro had hired a sports agent to teach a summer class this year without telling his boss, Arts and Sciences Dean Karen Gil, about the agent's profession. The sports agent, Carl Carey Jr., who earned his doctorate at UNC-CH and had served as an adviser to football players there, was representing two football players at the time he taught the class. No football players took the class, according to the athletic department.
Nyang'oro's handling of two football players who took his classes also has drawn attention

He missed a blatant case of plagiarism in a paper submitted by one football player, Michael McAdoo, who was later given an F in the class by the university's honor court.His department allowed incoming freshman Marvin Austin, a prized recruit, to take a 400-level class taught by Nyang'oro before Austin had taken introductory classes that included a remedial writing class. Austin received a B plus.
Both football players were kicked off the team last year as part of an NCAA investigation into academic misconduct and impermissible benefits from sports agents and their go-betweens. Carey is not among the agents found to have given players illegal gifts.
Allegations of NCAA violations include an assistant coach taking money from an agent, a former UNC football player whom the NCAA considers an agent with access to players in the weight room, and numerous athletes accepting trips, parties and other perks from agents. That inquiry into impermissible benefits and academic misconduct forced 14 players to miss at least one game last season, and seven sat out the entire season.
In July, Thorp fired football coach Butch Davis and accepted the retirement of Athletic Director Dick Baddour. UNC-CH has until Sept. 19 to respond to an NCAA notice of allegations, and is scheduled to appear before the association's infractions committee on Oct. 28.
After McAdoo's plagiarism was discovered by N.C. State University fans, and confirmed by The N&O, Thorp acknowledged that the university had missed it. But he continued to stand behind Nyang'oro, calling him a "great colleague."
Thorp was Nyang'oro's supervisor as dean of the Arts and Sciences college from July 2007 to May 2008, when Thorp became chancellor.
According to an academic resume, Nyang'oro began teaching at UNC-CH in 1984 as a visiting professor. He was hired as a professor six years later and became chairman of African and Afro-American studies in 1992.
His resume lists two teaching honors - one from undergraduate students for the 1990-91 academic year, and the outstanding faculty award from the Class of 2000 - and four pages of published books and articles.
Before the resignation, James Peacock, a UNC-CH anthropology professor and former faculty chairman, called Nyang'oro "one of the finest human beings and teachers and administrators whom I have ever known. Period. I don't really know anything about the situation with the plagiarism and all the rest, but whatever he has done in that area, and I don't know anything about it, should be balanced (with) his superb contributions in so many other ways."
Nyang'oro, 56, has a law degree from Duke University, and master's and doctoral degrees from the University of Miami, according to his resume. He received his bachelor's degree from a university in Tanzania. As chairman, he oversaw a staff of 22.
Nyang'oro had not responded to numerous requests for interviews over several weeks. Reached at his office Thursday, he declined to comment and referred a reporter to the university administration.
Thorp said professor Evelyne Huber will serve as the interim chairman for the African and Afro-American studies department. She is also chairman of the political science department.
Staff writer Ken Tysiac and news researcher David Raynor contributed.                                        SOURCE::dan.kane@newsobserver.com or 919-829-4861

Read more here: http://www.newsobserver.com/2011/09/02/1454391/unc-professor-resigns-academic.html#storylink=cpy

I will Just Wait For You At the Right Place And I will Hit You, Rwandan General Paul Kagame Threatens Tanzanian Jakaya Kikwete



“Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR  and urging negotiations… negotiations?  Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete]  did not deserve my answer. I did not waste my time answering him…It is well known. There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is impossible…”
It is in these ominous terms that the Rwandan dictator General Paul Kagame threatened to get even with Tanzanian President Jakaya Kikwete, while addressing Rwandan Youth on June 30, 2013 during a summit called “Youth Konnect”“, sponsored by his wife, Janet Kagame.
Relations between Tanzanian President Jakaya Kikwete and Rwandan leaders have soured in the last weeks. On several occasions Rwandan leaders called the Tanzanian President “a genocide and terrorist sympathizer”, “ignorant”, “arrogant”, and “mediocre leader”. The relations have deteriorated following the recommendation by President Jakaya Kikwete of open negotiations between Rwandan, Ugandan and Congolese leaders and their respective armed opposition in order to bring durable peace and security  in the African Great Lakes region.
Source: http://www.afroamerica.net

International African Festival Tübingen –open for Business! We bring German and African business partners together!

Desperate measures calls for desperate actions! The quest for raw materials, man-power, new source of energy, production and so on makes German companies take a closer look at investing and doing Business in Africa ( sub- Saharan)

Blue prints shows that China is the new occupant or better business partners to Africa! Turkey is also aggressively penetrating Africa but surprisingly Germans who were reluctant in the past are also focusing on west and east Africa. Cultural difference, mindset, language, trade regulations amongst others use to be the main barriers to market entry but that the past.

International African Festival Tübingen, Germany breaks these barriers offering African Entrepreneurs in and out of Africa an opportunity to meet and make contacts with German companies. The Festival takes place this

year from 8th to the 11th of August 2013 in Tübingen, Germany.

The main core of this festival is the Business conference which takes place on the 9th of August from 2 -5pm. This conference organized in collaboration with the chamber of commerce and industry, is a platform where German and African experts gives talks on successful business in Africa. This forum is open to all African entrepreneurs in and out of Africa, it’s a platform for Business, contacts and networking as the main audience are German and African entrepreneurs, NGOS, Financial institutions and many more

Hot topics will include amongst others

  • Sub-Saharan African market entry strategies (Renewable energy, Infrastructure, Agriculture..
  • A successful investment plan for your business
  • Financing and Export! Where to get money?
  • Security and recent development in Africa
  • Water solution for Africa
You can also be a sponsor on this festival, for all your travel needs and services

Contact us: www.afrikafestival.net / kontakt@afrikafestival.net/ 

Tuesday, July 2, 2013

NEYMAR AMTAKA WAYNE ROONEY BARCA

Hi-res-169860388_crop_exact
                                                                     Neymar

 
ROONEY
NYOTA wa Brazil, Neymar amemtaka mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kufikiri    kuhamia Barcelona, akisema itakuwa ni ndito kucheza na mshambuliaji huyo wa England.
Neymar, ambaye mwenyewe amejiunga na timu hiyo ya Katalunya mapema majira haya ya joto kwa dau la Pauni Milioni 48.6 kutoka Santos ya Brazil, ameitaja Camp Nou kama kituo sahihi kwa mchezaji mwenye kipaji kama Rooney. Neymar  mmoja wa wachezaji w Brazil  walioshinda  kombe la  Mabara.

Monday, July 1, 2013

One Love



Predict in yourself  what these  leaders thinking????











Rais Barack Obama awasili Tanzania

     
Obama akiwa na mwenyeji wake Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete   

Festive: The President was seen dancing along to the music on the red carpet at the airport    
Rais wa Marekani akicheza muziki wa band wakati alipotua uwanjani 

Ziara ya Obama inasemekana kulenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara na Afrika huku kukiwa na wasiwasi kuwa Marekani inaachwa nyuma na China katika uhusiano wao na Afrika.
Obama amewasili Tanzania baada ya ziara yake ya Afrika Kusini ambako rais mstaafu Nelson Mandela anaugua.
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete na familia yake pamoja na maafisa wake wa serikali na wacheza densi za kitamaduni walimkaribisha Obama na familia yake mjini Dar es Salaam.
Baadhi ya wananchi wa Tanzania kupitia mitandao ya kijamii wamekosoa ziara ya Obama katika nchi yao, wakisema kuwa ziara yake imeathiri shughuli za maisha yao ya kila siku.
Obama alitembelea Senegal kabla ya kupitia Afrika Kusini na kisha Tanzania ambako ziara yake ya Afrika inaishia kabla ya kurejea Marekani