Tuesday, July 2, 2013

NEYMAR AMTAKA WAYNE ROONEY BARCA

Hi-res-169860388_crop_exact
                                                                     Neymar

 
ROONEY
NYOTA wa Brazil, Neymar amemtaka mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kufikiri    kuhamia Barcelona, akisema itakuwa ni ndito kucheza na mshambuliaji huyo wa England.
Neymar, ambaye mwenyewe amejiunga na timu hiyo ya Katalunya mapema majira haya ya joto kwa dau la Pauni Milioni 48.6 kutoka Santos ya Brazil, ameitaja Camp Nou kama kituo sahihi kwa mchezaji mwenye kipaji kama Rooney. Neymar  mmoja wa wachezaji w Brazil  walioshinda  kombe la  Mabara.

No comments:

Post a Comment