
Anajulikana kama Joas Julius Magadula, kwa jina la kisanii anaitwa MAGADASHI MC, mkali kutoka jiji la mwanza ambaye aliibuka kama mshindi wa free style competition mwaka jana na kujinyakulia zawadi ya kurekodi nyimbo tatu na promo ya miezi sita, Madashi ameachia pini lake jipya akimshirikisha INO BIZLE
No comments:
Post a Comment